Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Hao ndio waliokuwa wafinyanzi, na wenyeji wa Netaimu na Gedera; ndipo walipokaa pamoja na mfalme ili kufanya kazi yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hawa ndio wafinyanzi walioishi katika miji ya Netaimu na Gedera, wakimhudumia mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hawa ndio wafinyanzi walioishi katika miji ya Netaimu na Gedera, wakimhudumia mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hawa ndio wafinyanzi walioishi katika miji ya Netaimu na Gedera, wakimhudumia mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye Ge-harashimu; kwani hao walikuwa mafundi stadi.


na Yokimu, na watu wa Kozeba, na Yoashi, na Sarafi waliokuwa na mamlaka katika Moabu, na Yashubi-lehemu. (Na taarifa hizi ni za zamani sana).


Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;


Nimeutua mzigo begani mwake; Mikono yake nikaiondolea kazi nzito.


Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo