Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizo zilikuwa koo za Wasorathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Na hawa ndio wana wa babaye Etamu; Yezreeli, na Ishma, na Idbashi; na dada yao aliitwa jina lake Haselelponi;


Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo