Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Na wana wa mkewe Hodia, dada yake Nahamu, walikuwa babaye Keila, Mgarmi, na Eshtemoa, Mmaaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hodia alimwoa dada yake Nahamu ambaye wazawa wake ndio waanzilishi wa kabila la Garmi, lililoishi katika mji wa Keila, na kabila la Maakathi, lililoishi katika mji wa Eshtemoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hodia alimwoa dada yake Nahamu ambaye wazawa wake ndio waanzilishi wa kabila la Garmi, lililoishi katika mji wa Keila, na kabila la Maakathi, lililoishi katika mji wa Eshtemoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hodia alimwoa dada yake Nahamu ambaye wazawa wake ndio waanzilishi wa kabila la Garmi, lililoishi katika mji wa Keila, na kabila la Maakathi, lililoishi katika mji wa Eshtemoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.


Na wana wa Shimoni; Amnoni, na Rina, na Ben-hanani, na Tiloni. Na wana wa Ishi; Zohethi, na Ben-zohethi.


na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


Hodia, Bani, Beninu;


Keila, Akizibu na Maresha; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo