Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Wana wa Yuda walikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Wana wa Yuda walikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Wana wa Yuda walikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Wazao wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa aliporudisha mkono wake, tazama, ndugu yake akatoka. Akasema, Mbona umepita kwa nguvu wewe? Mambo ya nguvu na yakuandame. Kwa hiyo jina lake likaitwa Peresi


Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.


Wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela; ambao hao watatu alizaliwa na binti Shua, Mkanaani. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa BWANA; naye akamwua.


Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.


Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.


Hao walikuwa wana wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata; Shobali, babaye Kiriath-Yearimu;


Na wana wa Karmi; Akani, yule aliyewataabisha Israeli, kwa kuchukua kilichowekwa wakfu.


Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.


Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.


Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.


Na wana wa Yuda, Eri na Onani; na hao Eri na Onani wakafa katika nchi ya Kanaani.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,


Hivi ndivyo vizazi vya Peresi; Peresi alimzaa Hesroni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo