1 Mambo ya Nyakati 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa dada yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wengine waliozaliwa na masuria wake. Daudi alikuwa na binti pia, aliyeitwa Tamari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wengine waliozaliwa na masuria wake. Daudi alikuwa na binti pia, aliyeitwa Tamari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wengine waliozaliwa na masuria wake. Daudi alikuwa na binti pia, aliyeitwa Tamari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao. Tazama sura |