1 Mambo ya Nyakati 3:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Wafuatao ni wana wa mfalme Daudi alipokuwa Yerusalemu: Mkewe Bathshua, bintiye Amieli, alimzalia wana wanne: Himea, Shobabu, Nathani na Solomoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Wafuatao ni wana wa mfalme Daudi alipokuwa Yerusalemu: Mkewe Bathshua, bintiye Amieli, alimzalia wana wanne: Himea, Shobabu, Nathani na Solomoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Wafuatao ni wana wa mfalme Daudi alipokuwa Yerusalemu: mkewe Bathshua, bintiye Amieli, alimzalia wana wanne: Himea, Shobabu, Nathani na Solomoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 nao hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia wana wanne: Shamua, Shobabu, Nathani na Sulemani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Sulemani. Tazama sura |