Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 3:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Eliehonai alikuwa na wana saba: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Eliehonai alikuwa na wana saba: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Eliehonai alikuwa na wana saba: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 3:24
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.


Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo