Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 3:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya alimzaa Refaya, aliyemzaa Arnani, aliyemzaa Obadia, aliyemzaa Shekania.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya alimzaa Refaya, aliyemzaa Arnani, aliyemzaa Obadia, aliyemzaa Shekania.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya alimzaa Refaya, aliyemzaa Arnani, aliyemzaa Obadia, aliyemzaa Shekania.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 3:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano.


Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.


Na chini yake walikuwa Edeni, na Minyamini, na Yeshua, na Shemaya, na Amaria, na Shekania, mijini mwa makuhani, kwa walivyoaminiwa, ili kuwagawia ndugu zao kwa zamu, wakuu na wadogo sawasawa;


wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.


Pelatia, Hanani, Anaya;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo