Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 3:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 3:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Babeli akamtawaza Matania, ndugu ya baba yake, awe mfalme badala yake, akalibadili jina lake, akamwita Sedekia.


Yehoyakimu akalala na babaze; na mwanawe Yekonia akatawala mahali pake.


Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala; akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani wa Yerusalemu.


Ikawa katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yekonia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki, mfalme wa Babeli, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, akamwinua kichwa Yekonia, mfalme wa Yuda, akamtoa gerezani.


Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.


Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,


Naye BWANA, Mungu wa baba zao, akatuma kwao kwa mikono ya wajumbe wake, akiondoka mapema, na kutuma; kwa sababu aliwahurumia watu wake, na makao yake;


Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Kama niishivyo mimi, asema BWANA, hata Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, angekuwa pete yenye mhuri katika mkono wangu wa kulia, ningekung'oa wewe hapo;


Je! Mtu huyu, Konia, ni chombo kilichodharauliwa, na kuvunjika? Ni chombo kisichopendeza? Mbona wametupwa, yeye na wazao wake, na kutupwa katika nchi wasiyoijua?


Na Sedekia, mwana wa Yosia, akamiliki baada ya Konia, mwana wa Yehoyakimu, ambaye Nebukadneza amemfanya mtawala katika nchi ya Yuda.


Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo