1 Mambo ya Nyakati 3:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Na wazawa wa Sulemani walikuwa: Rehoboamu mwanawe; mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Wazawa wa mfalme Solomoni: Solomoni alimzaa Rehoboamu, aliyemzaa Abiya, aliyemzaa Asa, aliyemzaa Yehoshafati, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Wazawa wa mfalme Solomoni: Solomoni alimzaa Rehoboamu, aliyemzaa Abiya, aliyemzaa Asa, aliyemzaa Yehoshafati, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Wazawa wa mfalme Solomoni: Solomoni alimzaa Rehoboamu, aliyemzaa Abiya, aliyemzaa Asa, aliyemzaa Yehoshafati, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa, Tazama sura |