1 Mambo ya Nyakati 29:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Ndipo hao watu wakafurahi, kwa sababu wametoa kwa hiari yao wenyewe, kwa moyo wao wote, kwa hiari yao wenyewe, wamemtolea BWANA; mfalme Daudi naye akafurahi sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Ndipo watu wakafurahi kwa sababu walitoa kwa hiari, maana kwa moyo wao wote walimtolea Mwenyezi-Mungu kwa hiari, naye mfalme Daudi alifurahi sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Ndipo watu wakafurahi kwa sababu walitoa kwa hiari, maana kwa moyo wao wote walimtolea Mwenyezi-Mungu kwa hiari, naye mfalme Daudi alifurahi sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Ndipo watu wakafurahi kwa sababu walitoa kwa hiari, maana kwa moyo wao wote walimtolea Mwenyezi-Mungu kwa hiari, naye mfalme Daudi alifurahi sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Watu wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa hiari na kwa moyo wote kwa Mwenyezi Mungu. Mfalme Daudi pia akafurahi sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Watu wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa hiari na kwa moyo wote kwa bwana. Mfalme Daudi pia akafurahi sana. Tazama sura |