1 Mambo ya Nyakati 29:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Na wale walioonekana kuwa na vito vya thamani wakavitoa vitiwe katika hazina ya nyumba ya BWANA, chini ya mkono wa Yehieli, Mgershoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wale ambao walikuwa na vito vya thamani walivitoa vitiwe katika hazina ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, chini ya uangalizi wa Yehieli, Mgershoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wale ambao walikuwa na vito vya thamani walivitoa vitiwe katika hazina ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, chini ya uangalizi wa Yehieli, Mgershoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wale ambao walikuwa na vito vya thamani walivitoa vitiwe katika hazina ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, chini ya uangalizi wa Yehieli, Mgershoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la Mwenyezi Mungu, chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la bwana chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni. Tazama sura |