1 Mambo ya Nyakati 28:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Na ufalme wake nitauimarisha milele, akiendelea kuzitenda amri zangu na hukumu zangu kwa dhati, kama hivi leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nitauimarisha ufalme wake milele ikiwa ataendelea kuzishika kwa dhati amri na sheria zangu kama anavyofanya leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nitauimarisha ufalme wake milele ikiwa ataendelea kuzishika kwa dhati amri na sheria zangu kama anavyofanya leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nitauimarisha ufalme wake milele ikiwa ataendelea kuzishika kwa dhati amri na sheria zangu kama anavyofanya leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nitauimarisha ufalme wake milele kama akiendelea kuzishika amri zangu na sheria zangu, kama afanyavyo hivi leo.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nitaufanya imara ufalme wake milele kama akiendelea kuzishika amri zangu na sheria zangu, kama afanyavyo hivi leo.’ Tazama sura |