1 Mambo ya Nyakati 28:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 tena katika wana wangu wote (kwani BWANA amenipa wana wengi), amemchagua Sulemani mwanangu ili aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wa BWANA, juu ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwenyezi-Mungu amenijalia wana wengi, na miongoni mwa hao wote, amemchagua Solomoni mwanangu, aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wake Mwenyezi-Mungu aitawale Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwenyezi-Mungu amenijalia wana wengi, na miongoni mwa hao wote, amemchagua Solomoni mwanangu, aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wake Mwenyezi-Mungu aitawale Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwenyezi-Mungu amenijalia wana wengi, na miongoni mwa hao wote, amemchagua Solomoni mwanangu, aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wake Mwenyezi-Mungu aitawale Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Miongoni mwa wanangu wote, naye Mwenyezi Mungu amenipa wengi, amemchagua Sulemani mwanangu ili kukikalia kiti cha utawala cha ufalme wa Mwenyezi Mungu juu ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Miongoni mwa wanangu wote, naye bwana amenipa wengi, amemchagua Sulemani mwanangu ili kukikalia kiti cha enzi cha ufalme wa bwana juu ya Israeli. Tazama sura |