1 Mambo ya Nyakati 28:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 na mfano wa yote aliyokuwa nao rohoni, kuhusu nyua za nyumba ya BWANA, na ya vyumba vyote vilivyoizunguka, ya hazina za nyumba ya Mungu, na ya hazina za vitu vilivyowekwa wakfu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Alimpa ramani ya yote aliyokusudia moyoni kuhusu nyua za nyumba ya Mwenyezi-Mungu, vyumba vya Mungu na ghala za kuwekea vitu vilivyo wakfu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Alimpa ramani ya yote aliyokusudia moyoni kuhusu nyua za nyumba ya Mwenyezi-Mungu, vyumba vya Mungu na ghala za kuwekea vitu vilivyo wakfu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Alimpa ramani ya yote aliyokusudia moyoni kuhusu nyua za nyumba ya Mwenyezi-Mungu, vyumba vya Mungu na ghala za kuwekea vitu vilivyo wakfu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Akampa vielelezo vya yote ambayo Roho wa Mungu alikuwa ameviweka moyoni mwake kwa ajili ya kumbi za Hekalu la Mwenyezi Mungu na vyumba vyote vilivyolizunguka, kwa ajili ya hazina za Hekalu la Mungu na kwa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Akampa vielelezo vya yote Roho alikuwa ameviweka moyoni mwake kwa ajili ya kumbi za Hekalu la bwana na vyumba vyote vilivyolizunguka, kwa ajili ya hazina za Hekalu la Mungu na kwa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu. Tazama sura |