1 Mambo ya Nyakati 27:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 na, baada ya Ahithofeli, walikuwa Yehoyada mwana wa Benaya, na Abiathari; na jemadari wa jeshi la mfalme alikuwa Yoabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme, pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa jemadari wa majeshi ya mfalme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme. Tazama sura |