1 Mambo ya Nyakati 27:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 na juu ya makundi ya kondoo alikuwa Yazizi, Mhagri. Hao wote walikuwa watumishi wa akiba alizokuwa nazo mfalme Daudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Hao wote walikuwa watunzaji wa mali ya mfalme Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Hao wote walikuwa watunzaji wa mali ya mfalme Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Hao wote walikuwa watunzaji wa mali ya mfalme Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio walikuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi. Tazama sura |