1 Mambo ya Nyakati 27:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 na juu ya mifugo iliyolishwa katika Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; na juu ya mifugo iliyokuwamo mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Aliyesimamia mifugo iliyokuwa Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; aliyesimamia mifugo iliyokuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Aliyesimamia mifugo iliyokuwa Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; aliyesimamia mifugo iliyokuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Aliyesimamia mifugo iliyokuwa Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; aliyesimamia mifugo iliyokuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa mifugo waliolishwa huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa mifugo iliyokuwa makondeni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ng’ombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ng’ombe yaliyokuwa makondeni. Tazama sura |