1 Mambo ya Nyakati 27:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Lakini Daudi hakufanya hesabu ya waliokuwa na umri wa chini ya miaka ishirini; kwa kuwa BWANA alikuwa amesema, ya kwamba atawaongeza Israeli mfano wa nyota za mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Mfalme Daudi hakuwahesabu wale waliokuwa chini ya umri wa miaka ishirini kwa maana Mwenyezi-Mungu aliahidi kuwaongeza Waisraeli wawe wengi kama nyota za mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Mfalme Daudi hakuwahesabu wale waliokuwa chini ya umri wa miaka ishirini kwa maana Mwenyezi-Mungu aliahidi kuwaongeza Waisraeli wawe wengi kama nyota za mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Mfalme Daudi hakuwahesabu wale waliokuwa chini ya umri wa miaka ishirini kwa maana Mwenyezi-Mungu aliahidi kuwaongeza Waisraeli wawe wengi kama nyota za mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Mwenyezi Mungu alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani. Tazama sura |