Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 27:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 wa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 wa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 wa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 wa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio walikuwa maafisa wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 27:22
3 Marejeleo ya Msalaba  

Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;


wa nusu kabila la Manase katika Gileadi, Ido mwana wa Zekaria; wa Benyamini, Yaasieli mwana wa Abneri;


Kisha Daudi akawakusanya huko Yerusalemu wakuu wote wa Israeli, wakuu wa kabila, na makamanda wa vikosi wenye kumtumikia mfalme kwa zamu, na makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, na wenye kutawala juu ya mali na milki za mfalme, na za wanawe, pamoja na matowashi, na mashujaa, naam, wanaume mashujaa wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo