Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 26:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba, Peulethai wa nane; kwa jinsi Mungu alivyombariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 26:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme Daudi akaambiwa ya kwamba, BWANA ameibariki nyumba ya Obed-edomu, na vitu vyote alivyo navyo kwa ajili ya sanduku la Mungu. Daudi akaenda, akalileta sanduku la Mungu, toka nyumba ya Obed-edomu mpaka mji wa Daudi, kwa shangwe.


Sanduku la Mungu likakaa na jamaa ya Obed-edomu, nyumbani mwake, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akaibariki nyumba ya Obed-edomu, na yote aliyokuwa nayo.


Naye Obed-edomu alikuwa na wana; Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, na Sakari wa nne, na Nethaneli wa tano;


Naye mwanawe Shemaya akazaliwa wana, walioongoza ukoo wa baba yao; kwa kuwa walikuwa wanaume mashujaa.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo