1 Mambo ya Nyakati 26:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Katika Waishari, Kenania na wanawe walikuwa kwa ajili ya kazi ya nje juu ya Israeli, kuwa maofisa na waamuzi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Miongoni mwa Waishari, Kenania na wanawe walipewa kazi za utawala kama maofisa na waamuzi, kwa ajili ya Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Miongoni mwa Waishari, Kenania na wanawe walipewa kazi za utawala kama maofisa na waamuzi, kwa ajili ya Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Miongoni mwa Waishari, Kenania na wanawe walipewa kazi za utawala kama maofisa na waamuzi, kwa ajili ya Waisraeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli. Tazama sura |