Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 26:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Naye Meshelemia alikuwa na wana; Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yeye alikuwa na wana saba: Zekaria mzaliwa wake wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yeye alikuwa na wana saba: Zekaria mzaliwa wake wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yeye alikuwa na wana saba: Zekaria mzaliwa wake wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 26:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa zamu zao mabawabu; wa Wakora; Meshelemia mwana wa Kore, wa wana wa Ebiasafu.


Elamu wa tano, Yohana wa sita, Elioenai wa saba.


Zekaria, mwana wa Meshelemia, alikuwa bawabu mlangoni pa ile hema ya kukutania.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo