Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 26:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Hizo ndizo zamu za mabawabu; wa wana wa Wakora, na wa wana wa Merari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hii ilikuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 26:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaenda, wakawaita mabawabu wa mji; wakawaambia, Tulifika kituo cha Washami, na tazama, hapana mtu yeyote huko, wala sauti ya mtu, ila farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na hema zao kama walivyoziacha.


Penye Parbari upande wa magharibi, walikuwapo wanne darajani, na wawili huko Parbari.


Na katika Walawi; Ahia mtunzaji wa hazina ya nyumba ya Mungu, pamoja na hazina ya vitu vilivyowekwa wakfu.


Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.


Kwa sababu hii wewe na mkutano wako wote mmekusanyika kinyume cha BWANA; na Haruni, je! Yeye ni nani hata mkamnung'unikia?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo