Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 26:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Penye Parbari upande wa magharibi, walikuwapo wanne darajani, na wawili huko Parbari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kwenye banda zuri lililokuwa upande wa magharibi, kulikuwa na mabawabu wanne barabarani, na wawili kwenye banda lenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kwenye banda zuri lililokuwa upande wa magharibi, kulikuwa na mabawabu wanne barabarani, na wawili kwenye banda lenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kwenye banda zuri lililokuwa upande wa magharibi, kulikuwa na mabawabu wanne barabarani, na wawili kwenye banda lenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 26:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaondoa farasi ambao wafalme wa Yuda waliwatoa kwa jua, hapo pa kuingia nyumbani mwa BWANA, karibu na chumba cha Nathan-Meleki, towashi, kilichohuwako kiungani; akayapiga moto magari ya jua.


Ya Shupimu na Hosa upande wa magharibi, langoni pa Shalekethi, hapo penye daraja ya kupandia, ulinzi ulifanywa kwa zamu.


Upande wa mashariki walikuwapo Walawi sita, kaskazini wanne kila siku, kusini wanne kila siku, na wa nyumba ya akiba wawili wawili.


Hizo ndizo zamu za mabawabu; wa wana wa Wakora, na wa wana wa Merari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo