Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 26:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Ya Obed-edomu ya kusini; na ya wanawe nyumba ya akiba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Obed-edomu aliangukiwa na kura ya lango la kusini, na ya wanawe, ghala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Obed-edomu aliangukiwa na kura ya lango la kusini, na ya wanawe, ghala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Obed-edomu aliangukiwa na kura ya lango la kusini, na ya wanawe, ghala.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 26:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kura ya lango la mashariki ikamwangukia Meshelemia. Ndipo wakamtupia kura Zekaria mwanawe, mshauri mwenye busara; na kura yake ikamtokea ya kaskazini.


Ya Shupimu na Hosa upande wa magharibi, langoni pa Shalekethi, hapo penye daraja ya kupandia, ulinzi ulifanywa kwa zamu.


Upande wa mashariki walikuwapo Walawi sita, kaskazini wanne kila siku, kusini wanne kila siku, na wa nyumba ya akiba wawili wawili.


Akaitwaa dhahabu yote, na fedha, na vyombo vyote vilivyoonekana nyumbani mwa Mungu kwa Obed-edomu, na hazina za nyumba ya mfalme, tena watu kuwa amana, akarudi Samaria.


Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu, walikuwa mabawabu, wa kulinda nyumba za hazina katika malango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo