1 Mambo ya Nyakati 26:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Katika hao zilikuwa zamu za mabawabu, yaani, katika hao wakuu, wenye huduma kama ndugu zao, wa kutumika katika nyumba ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mabawabu hao waligawanyika katika makundi kulingana na jamaa zao, nao pia walipangiwa kazi kwenye nyumba ya Mwenyezi-Mungu kama wale Walawi wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mabawabu hao waligawanyika katika makundi kulingana na jamaa zao, nao pia walipangiwa kazi kwenye nyumba ya Mwenyezi-Mungu kama wale Walawi wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mabawabu hao waligawanyika katika makundi kulingana na jamaa zao, nao pia walipangiwa kazi kwenye nyumba ya Mwenyezi-Mungu kama wale Walawi wengine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa Mwenyezi Mungu kama jamaa zao walivyokuwa nazo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa bwana kama jamaa zao walivyokuwa nazo. Tazama sura |