1 Mambo ya Nyakati 25:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Na hesabu yao, pamoja na ndugu zao waliofundishwa kumwimbia BWANA, wote waliokuwa mastadi, walikuwa mia mbili na themanini na wanane. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Idadi yao pamoja na wale ndugu zao Walawi waliofundishwa kumwimbia Mwenyezi-Mungu, wote waliokuwa stadi, ilikuwa 288. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Idadi yao pamoja na wale ndugu zao Walawi waliofundishwa kumwimbia Mwenyezi-Mungu, wote waliokuwa stadi, ilikuwa 288. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Idadi yao pamoja na wale ndugu zao Walawi waliofundishwa kumwimbia Mwenyezi-Mungu, wote waliokuwa stadi, ilikuwa 288. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Pamoja na ndugu zao, wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Mwenyezi Mungu. Idadi yao walikuwa mia mbili na themanini na nane (288). Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa bwana. Idadi yao walikuwa 288. Tazama sura |