Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 25:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 25:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Walawi wakamwagiza Hemani mwana wa Yoeli; na wa nduguze, Asafu mwana wa Berekia; na wa wana wa Merari ndugu zao, Ethani mwana wa Kishi;


Hivyo hao waimbaji, Hemani, Asafu, na Ethani, wakaagizwa kupiga matoazi yao ya shaba kwa sauti kuu;


Na wa wana wa Lawi, waliosalia; wa wana wa Amramu, Shebueli; wa wana wa Shebueli, Yedeya.


Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri.


Na wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi. Hao ndio wana wa Walawi, kwa kufuata koo za baba zao.


ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


ya ishirini na moja Hothiri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


Wa Yeduthuni; wana wa Yeduthuni; Gedalia, na Seri, na Yeshaya, na Hashabia, na Matithia, [na Shimei], watu sita; walioamriwa na baba yao Yeduthuni mwenye kinubi, aliyetabiri katika kumshukuru na kumsifu BWANA.


ya ishirini na tatu Mahaziothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


ya ishirini na nne Romanti-ezeri, wanawe na nduguze, kumi na wawili.


hao wote ndio wana wa Hemani, mwonaji wa mfalme, kwa maneno ya Mungu, ili kuinua pembe. Naye Mungu akampa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo