1 Mambo ya Nyakati 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 wa wana wa Asafu; Zakuri, na Yusufu, na Nethania, na Asharela, wana wa Asafu; walioamriwa na Asafu, aliyetabiri kwa amri ya mfalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Wana wanne wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asharela. Wao walikuwa chini ya uongozi wa Asafu aliyetabiri wakati wote chini ya uongozi wa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Wana wanne wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asharela. Wao walikuwa chini ya uongozi wa Asafu aliyetabiri wakati wote chini ya uongozi wa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Wana wanne wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asharela. Wao walikuwa chini ya uongozi wa Asafu aliyetabiri wakati wote chini ya uongozi wa mfalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yusufu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yusufu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme. Tazama sura |