Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 24:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Na wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi. Hao ndio wana wa Walawi, kwa kufuata koo za baba zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Mushi alikuwa na wana watatu: Mahli, Ederi na Yeremothi. Wao ni wazawa wa Lawi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Mushi alikuwa na wana watatu: Mahli, Ederi na Yeremothi. Wao ni wazawa wa Lawi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Mushi alikuwa na wana watatu: Mahli, Ederi na Yeremothi. Wao ni wazawa wa Lawi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 24:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi, watu watatu.


Wa Kishi; wana wa Kishi; Yerameeli.


Hao nao wakapigiwa kura vile vile, kama ndugu zao wana wa Haruni, machoni pa Daudi mfalme, na Sadoki, na Ahimeleki, na wakuu wa koo za baba za makuhani na za Walawi; koo za baba za mkuu, vile vile kama za nduguye mdogo.


mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.


Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo