Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 24:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 24:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

na Ishmaya Mgibeoni, shujaa wa wale thelathini, naye alikuwa juu ya wale thelathini; na Yeremia, na Yahazieli, na Yohana, na Yozabadi Mgederathi;


Wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.


Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.


Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri.


Katika Wahebroni Yeria alikuwa mkuu, yaani, wa hao Wahebroni kwa kufuata vizazi vyao kwa koo za mababa. Katika mwaka arubaini wa kutawala kwake Daudi wakatafutwa, wakaonekana huko Yazeri ya Gileadi miongoni mwao wanaume mashujaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo