Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 24:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mmoja wa wazawa wa Ishio alikuwa Shelomithi na wa wazawa wa Shelomithi alikuwa Yahathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mmoja wa wazawa wa Ishio alikuwa Shelomithi na wa wazawa wa Shelomithi alikuwa Yahathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mmoja wa wazawa wa Ishio alikuwa Shelomithi na wa wazawa wa Shelomithi alikuwa Yahathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomothi, kutoka kwa wana wa Shelomothi: alikuwa Yahathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 24:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.


Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.


Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.


Huyo Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa hazina zote za vitu vilivyowekwa wakfu, alivyoviweka wakfu mfalme Daudi, na hao wakuu wa koo za mababa, na maofisa wa maelfu na wa mamia, na makamanda wa jeshi.


Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.


Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na katika Kohathi ni jamaa ya Waamrami, na jamaa ya Waishari, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya hao Wauzieli; hizo ni jamaa za Wakohathi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo