Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 24:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mmoja wa wazawa wa Rehabia alikuwa Ishio kiongozi wa ukoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mmoja wa wazawa wa Rehabia alikuwa Ishio kiongozi wa ukoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mmoja wa wazawa wa Rehabia alikuwa Ishio kiongozi wa ukoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kuhusu Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 24:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.


Na wa wana wa Lawi, waliosalia; wa wana wa Amramu, Shebueli; wa wana wa Shebueli, Yedeya.


Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.


Na nduguze; wa Eliezeri, Rehabia mwanawe, na Ishia mwanawe, na Yoramu mwanawe, na Zikri mwanawe, na Shelomothi mwanawe.


Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo