Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 24:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na wa wana wa Lawi, waliosalia; wa wana wa Amramu, Shebueli; wa wana wa Shebueli, Yedeya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hawa ndio wazawa wengine wa Lawi: Mmoja wa wazawa wa Amramu alikuwa Shubaeli; wa Shubaeli alikuwa Yedeya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hawa ndio wazawa wengine wa Lawi: Mmoja wa wazawa wa Amramu alikuwa Shubaeli; wa Shubaeli alikuwa Yedeya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hawa ndio wazawa wengine wa Lawi: Mmoja wa wazawa wa Amramu alikuwa Shubaeli; wa Shubaeli alikuwa Yedeya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 24:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.


Huu ndio utaratibu wa zamu zao katika huduma yao, ya kuingia nyumbani mwa BWANA kwa kadiri ya agizo lao, kwa mkono wa Haruni baba yao, kama BWANA, Mungu wa Israeli, alivyomwamuru.


Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.


na Shebueli, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, alikuwa mtunzaji wa hazina zote.


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


na wale waliohesabiwa kwa nasaba ya makuhani kufuata nyumba za baba zao, na Walawi, wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, katika sehemu yao, kwa kadiri ya zamu zao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo