1 Mambo ya Nyakati 24:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Na zamu za wana wa Haruni ni hizi. Wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Hayo ndiyo makundi ya wazawa wa Aroni. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Hayo ndiyo makundi ya wazawa wa Aroni. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Hayo ndiyo makundi ya wazawa wa Aroni. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Hii ndiyo migawanyo ya wazao wa Haruni: Haruni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Haruni: Haruni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama sura |