Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Wana wa Shimei; Shelomothi, na Hazieli, na Harani, watatu. Hao walikuwa vichwa vya koo za baba za Ladani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomithi, Hazieli na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa ukoo wa Ladani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomithi, Hazieli na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa ukoo wa Ladani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomithi, Hazieli na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa ukoo wa Ladani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Shimei; Yahathi, na Zina, na Yeushi, na Beria. Hao wanne walikuwa wana wa Shimei.


Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.


na mwanawe huyo ni Ladani, na mwanawe huyo ni Amihudi, na mwanawe huyo ni Elishama;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo