Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,


wa wana wa Gershoni; Yoeli mkuu wao, na nduguze mia moja na thelathini;


Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.


Wana wa Shimei; Shelomothi, na Hazieli, na Harani, watatu. Hao walikuwa vichwa vya koo za baba za Ladani.


Wana wa Ladani; wana wa Wagershoni waliokuwa wa Ladani; wakuu wa koo za mababa waliokuwa wa Ladani, Mgershoni; Yehieli.


Na wale walioonekana kuwa na vito vya thamani wakavitoa vitiwe katika hazina ya nyumba ya BWANA, chini ya mkono wa Yehieli, Mgershoni.


na mwanawe huyo ni Ladani, na mwanawe huyo ni Amihudi, na mwanawe huyo ni Elishama;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo