1 Mambo ya Nyakati 23:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 na elfu nne walikuwa mabawabu; na elfu nne walimsifu BWANA kwa vinanda, nilivyovifanya, alisema Daudi, vya kumsifia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 4,000 wawe mabawabu, na 4,000 wawe waimbaji, wakimsifu Mwenyezi-Mungu kwa ala za muziki alizotengeneza mfalme mwenyewe kwa madhumuni hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 4,000 wawe mabawabu, na 4,000 wawe waimbaji, wakimsifu Mwenyezi-Mungu kwa ala za muziki alizotengeneza mfalme mwenyewe kwa madhumuni hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 4,000 wawe mabawabu, na 4,000 wawe waimbaji, wakimsifu Mwenyezi-Mungu kwa ala za muziki alizotengeneza mfalme mwenyewe kwa madhumuni hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 na elfu nne watakuwa mabawabu, na wengine elfu nne watamsifu Mwenyezi Mungu kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu bwana kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.” Tazama sura |