1 Mambo ya Nyakati 23:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Katika hao elfu ishirini na nne walikuwa wa kusimamia kazi ya nyumba ya BWANA; na elfu sita walikuwa maofisa na waamuzi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Hao, Daudi aliwagawanya: 24,000 kati yao wawe wasimamizi wa kazi ya nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu, 6,000 wawe maofisa na waamuzi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Hao, Daudi aliwagawanya: 24,000 kati yao wawe wasimamizi wa kazi ya nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu, 6,000 wawe maofisa na waamuzi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Hao, Daudi aliwagawanya: 24,000 kati yao wawe wasimamizi wa kazi ya nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu, 6,000 wawe maofisa na waamuzi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, elfu ishirini na nne watasimamia kazi ya Hekalu la Mwenyezi Mungu na elfu sita watakuwa maafisa na waamuzi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la bwana na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi, Tazama sura |