1 Mambo ya Nyakati 23:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 nao wasimame kila asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA, na jioni vivyo hivyo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 na walisimama kumshukuru na kumsifu Mwenyezi-Mungu kila siku asubuhi na jioni, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 na walisimama kumshukuru na kumsifu Mwenyezi-Mungu kila siku asubuhi na jioni, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 na walisimama kumshukuru na kumsifu Mwenyezi-Mungu kila siku asubuhi na jioni, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Mwenyezi Mungu. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu bwana. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni Tazama sura |