1 Mambo ya Nyakati 23:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Maana kwa maneno ya mwisho ya Daudi, hao wana wa Lawi walihesabiwa, wenye miaka ishirini na zaidi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Kulingana na maagizo ya mwisho aliyotoa Daudi, Walawi wote waliofikia umri wa miaka ishirini waliandikishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Kulingana na maagizo ya mwisho aliyotoa Daudi, Walawi wote waliofikia umri wa miaka ishirini waliandikishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Kulingana na maagizo ya mwisho aliyotoa Daudi, Walawi wote waliofikia umri wa miaka ishirini waliandikishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi walihesabiwa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi. Tazama sura |