1 Mambo ya Nyakati 23:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Kwa kuwa Daudi alisema, BWANA, Mungu wa Israeli, amewastarehesha watu wake; naye hukaa Yerusalemu milele; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Daudi alisema, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake amani, naye ataishi Yerusalemu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Daudi alisema, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake amani, naye ataishi Yerusalemu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Daudi alisema, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake amani, naye ataishi Yerusalemu milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake amani, na amekuja kuishi Yerusalemu milele, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile bwana, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele, Tazama sura |