Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi, watu watatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Wana wa Mushi walikuwa watatu: Mali, Ederi na Yeremothi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Wana wa Mushi walikuwa watatu: Mali, Ederi na Yeremothi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Wana wa Mushi walikuwa watatu: Mali, Ederi na Yeremothi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wana wa Mushi: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Wana wa Mushi: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Eleazari, wala hakuwa na wana, ila binti tu; na ndugu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.


Hao walikuwa wana wa Lawi, kwa kufuata koo za baba zao, yaani, vichwa vya koo za baba zao waliohesabiwa, kwa hiyo hesabu ya majina yao, hao walioifanya kazi ya utumishi wa nyumba ya BWANA, wenye miaka ishirini na zaidi.


Na wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi. Hao ndio wana wa Walawi, kwa kufuata koo za baba zao.


Mkajiweke tayari kwa kadiri ya nyumba za baba zenu, kwa zamu zenu, kama alivyoandika Daudi mfalme wa Israeli, na kama alivyoandika Sulemani mwanawe.


Akaziamuru, kulingana na agizo la Daudi babaye, zamu za makuhani za kutumika, nao Walawi kwa kadiri ya malinzi yao, ili kusifu, na kuhudumu mbele ya makuhani, kama ilivyohitajiwa kila siku; tena mabawabu kwa zamu zao za kila mlango; maana ndivyo alivyoamuru Daudi mtu wa Mungu.


Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo