Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wana wa Merari; Mali na Mushi. Wana wa Mali; Eleazari, na Kishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Merari alikuwa na wana wawili: Mali na Mushi. Wana wa Mali walikuwa wawili: Eleazari na Kishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Merari alikuwa na wana wawili: Mali na Mushi. Wana wa Mali walikuwa wawili: Eleazari na Kishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Merari alikuwa na wana wawili: Mali na Mushi. Wana wa Mali walikuwa wawili: Eleazari na Kishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Uzieli; Mika mkuu wao, na Ishia wa pili.


Akafa Eleazari, wala hakuwa na wana, ila binti tu; na ndugu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.


Basi Daudi akawagawanya kwa zamu zao sawasawa na wana wa Lawi; Gershoni, Kohathi, na Merari.


Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.


Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;


na mwanawe huyo ni Shimea, na mwanawe huyo ni Hagla, na mwanawe huyo ni Asaya.


Eleazari akamzaa Finehasi; na Finehasi akamzaa Abishua;


Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.


Katika Merari ni jamaa ya hao Wamahli, na jamaa ya Wamushi; hizo ni jamaa za Merari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo