Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Akawakusanya wakuu wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mfalme Daudi aliwakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mfalme Daudi aliwakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mfalme Daudi aliwakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Pia akawakusanya viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Daudi akafanya shauri na makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, naam, na kila kiongozi.


Basi Daudi alipokuwa mzee kwa kuishi siku nyingi; alimtawaza mwanawe Sulemani awe mfalme wa Waisraeli.


Nao wakahesabiwa Walawi wenye miaka thelathini na zaidi; na jumla yao kwa vichwa, mtu kwa mtu, ikawa elfu thelathini na nane.


Kisha Daudi akawakusanya huko Yerusalemu wakuu wote wa Israeli, wakuu wa kabila, na makamanda wa vikosi wenye kumtumikia mfalme kwa zamu, na makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, na wenye kutawala juu ya mali na milki za mfalme, na za wanawe, pamoja na matowashi, na mashujaa, naam, wanaume mashujaa wote.


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


Yoshua akawaita Israeli wote, wazee wao, na wakuu wao, na waamuzi wao, na makamanda wao, akawaambia, Mimi ni mzee, nami nimezeeka sana;


Yoshua akawakusanya makabila yote ya Israeli huko Shekemu, akawaita wazee wa Israeli, na wakuu wao, na waamuzi wao, na maofisa wao nao wakaja mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo