Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wana wa Hebroni walikuwa wanne: Mkuu wao alikuwa Yeria, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli na wa nne Yekameamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wana wa Hebroni walikuwa wanne: Mkuu wao alikuwa Yeria, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli na wa nne Yekameamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wana wa Hebroni walikuwa wanne: mkuu wao alikuwa Yeria, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli na wa nne Yekameamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;


Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.


Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.


Wana wa Uzieli; Mika mkuu wao, na Ishia wa pili.


Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.


Katika Wahebroni Yeria alikuwa mkuu, yaani, wa hao Wahebroni kwa kufuata vizazi vyao kwa koo za mababa. Katika mwaka arubaini wa kutawala kwake Daudi wakatafutwa, wakaonekana huko Yazeri ya Gileadi miongoni mwao wanaume mashujaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo