Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ishari alimzaa Shelomithi, kiongozi wa kabila zima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ishari alimzaa Shelomithi, kiongozi wa kabila zima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ishari alimzaa Shelomithi, kiongozi wa kabila zima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wana wa Ishari: Shelomithi alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wana wa Ishari: Shelomithi alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.


Wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.


Wa Waishari, Shelomothi; wa wana wa Shelomothi, Yahathi.


Huyo Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa hazina zote za vitu vilivyowekwa wakfu, alivyoviweka wakfu mfalme Daudi, na hao wakuu wa koo za mababa, na maofisa wa maelfu na wa mamia, na makamanda wa jeshi.


Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo