Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu; Rehabia, naye alikuwa kiongozi. Lakini Rehabia alikuwa na wana wengi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu; Rehabia, naye alikuwa kiongozi. Lakini Rehabia alikuwa na wana wengi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu; Rehabia, naye alikuwa kiongozi. Lakini Rehabia alikuwa na wana wengi sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Wazao wa Eliezeri: Rehabia alikuwa wa kwanza. Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Wazao wa Eliezeri: Rehabia alikuwa wa kwanza. Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.


Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.


Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.


na Shebueli, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, alikuwa mtunzaji wa hazina zote.


Na nduguze; wa Eliezeri, Rehabia mwanawe, na Ishia mwanawe, na Yoramu mwanawe, na Zikri mwanawe, na Shelomothi mwanawe.


na jina la wa pili ni Eliezeri, kwa kuwa alisema, Yeye Mungu wa baba yangu alikuwa msaada wangu, akaniokoa na upanga wa Farao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo