Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Aliyekuwa mkuu miongoni mwa wana wa Gershomu ni Shebueli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Aliyekuwa mkuu miongoni mwa wana wa Gershomu ni Shebueli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Aliyekuwa mkuu miongoni mwa wana wa Gershomu ni Shebueli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wazao wa Gershomu: Shebueli alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wazao wa Gershomu: Shebueli alikuwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Musa; Gershomu na Eliezeri.


Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.


Na wa wana wa Lawi, waliosalia; wa wana wa Amramu, Shebueli; wa wana wa Shebueli, Yedeya.


ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;


na Shebueli, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, alikuwa mtunzaji wa hazina zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo